Reach us on WhatsApp
APPLY NOW

HAYDOM INSTITUTE OF HEALTH SCIENCES

News Image
Ibada ya kuingizwa kazini Askofu Mteule Mchg. John Nade Gwandu na Msaidizi wa Askofu Mchg. Ezekiel Dakho Diyame

Katibu Mkuu wa KKKT, Rogath Mollel (kulia), akiwa na Katibu Mkuu wa Dayosisi ya Mbulu, Mwl. Fabian Adayo (katikati) na Naibu Katibu Mkuu wa KKKT, Misioni na Uinjilisti, Mchg. Godfrey Walalaze, katika Ibada ya Wakfu wa Askofu wa KKKT Dayosisi ya Mbulu, leo Februari 8, 2026 katika Usharika wa Haydom.